AHLU SUNNA WAL JAMA'A
Pages
Home
MAKALA
KUHUSU SISI
MAWAIDHA
Wednesday, May 4, 2016
KUGUSA TUPU YA MTOTO KUNATENGUA WUDHUU ?
Swali
:
Kugusa tupu ya mtoto wakati wa kumuogesha kunatengua Wudhuu au hapana?
Jibu
Dhahiri ni kwamba kunatengua. Kwa sababu kumepokelewa:
“... na kugusa tupu.”
Kunaingia ndani yake tupu ya mtoto na ya mkubwa.
´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3010
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment