Swali:
Je, kumethibiti kitu kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya fadhila za usiku tarehe 15 Sha´abaan?
Jibu
Hapana.
Usiku wa tarehe 15 Sha´abaan hakukuthibiti Hadiyth hata moja.
Ni kama masiku mengine.
Usiku wa tarehe 15 Sha´abaan hakukuthibiti Hadiyth hata moja.
Ni kama masiku mengine.
No comments:
Post a Comment