Swali:
Salaf wamekataza kukaa na Ahl-ul-Bid´ah. Je, ´Awwaam ambao wanafanya Bid´ah wanaingia katika makatazo haya?
Salaf wamekataza kukaa na Ahl-ul-Bid´ah. Je, ´Awwaam ambao wanafanya Bid´ah wanaingia katika makatazo haya?
Jibu
Wakibainishiwa na wakaendelea kufanya Bid´ah mtu asikae nao.
Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14020
Tarehe: 19.08.1433/09.07.2012
Toleo la: 25.03.2016
No comments:
Post a Comment