Wednesday, May 11, 2016

Kimethibiti CHOCHOTE Nisfu SHA'BAAN ?

Swali:

Kumesihi kitu juu ya Hadiyth zinazozungumzia Nisfu Sha´abaan?
Jibu
Hapana. 
 Hapakuthibiti kitu zaidi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga siku nyingi za Sha´abaan. 
Hili ndio limethibiti kwake. Mbali na hapo hapakuthibiti kitu kuhusiana na Sha´abaan wala usiku wa Nisfu Sha´abaan.

Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan

No comments:

Post a Comment