Wednesday, May 11, 2016

Je,Nikiombwa PESA ni WAJIBU kutoa ?

Swali:
Mwombaji akiniomba pesa ni wajibu kwangu kumpa?

Jibu
Ndio, 
akikuomba ni wajibu kwako kumpa. 
Mpe kila unachoweza hata kama kitakuwa ni kidogo. 
Ikiwa huna angalau mwambie maneno mazuri na kumuombea Du´aa.

Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (74)
 http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf--1432-10-28.mp3

No comments:

Post a Comment