Thursday, May 19, 2016

JE, ISIS NI DOLA YA KIISLAMU?

Swali
Baadhi ya watu wanasema nchi ya leo inayoitwa kuwa ni dola ya Kiislamu ni Khawaarij. 
Je, haya ni sahihi?

Jibu:
 Hili halina shaka. 
Sifa zao na matendo yao, yaani ISIS, ni matendo ya Khawaarij. Haitakiwi kusema dola ya "Kiislamu”. 
Wanatakiwa kuitwa ”ISIS”
Hili ndio jina linalowafaa. 
Je, dola ya Kiislamu inawachinja watu kwa visu? 
Inawachinja watu kwa visu, uharibifu na kuua? 
Hili halina lolote kuhusiana na Uislamu.   

Chanzo:  
 ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad   
 http://www.youtube.com/watch?v=2MfeGXUFNHw

No comments:

Post a Comment