Swali
Jibu
Kwa
wingi. Ipo kwa wingi.
Ulipuaji na kujitoa muhanga, hii ni kazi ya Khawaarij, bali ni baya zaidi kuliko kazi ya Khawaarij.
Khawaarij hawakuwa wanalipua majumba, wanawaua wanawake na watoto, wenye mkataba na waliopewa amani. Khawaarij walikuwa wakiwafukuza vitani.
Walikuwa wakiwafukuza na hawakuwa wakifanya khiyana na wakilipua majumba ya familia.
Haya ni zaidi ya Khawaarij na tunaomba kinga kwa Allaah. Asli ni kitendo cha Khawaarij lakini wamezidisha juu yake katika kueneza ufisadi katika ardhi.
Ulipuaji na kujitoa muhanga, hii ni kazi ya Khawaarij, bali ni baya zaidi kuliko kazi ya Khawaarij.
Khawaarij hawakuwa wanalipua majumba, wanawaua wanawake na watoto, wenye mkataba na waliopewa amani. Khawaarij walikuwa wakiwafukuza vitani.
Walikuwa wakiwafukuza na hawakuwa wakifanya khiyana na wakilipua majumba ya familia.
Haya ni zaidi ya Khawaarij na tunaomba kinga kwa Allaah. Asli ni kitendo cha Khawaarij lakini wamezidisha juu yake katika kueneza ufisadi katika ardhi.
Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
No comments:
Post a Comment