Swali
Jibu
Du´aa
na kunyanyua mikono ni mambo yanayotakikana.
Hakuna neno kwa hayo. Atakapoomba Du´aa mwalimu na akanyanyua mikono na wengine watanyanyua mikono yao na kuitikia “Aamiyn” kwa Du´aa yake.
Hakuna neno juu ya hilo.
Kwa kuwa asli ni kunyanyua mikono isipokuwa sehemu ambazo imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliomba na hakunyanyua mikono yake.
Kwa mfano wa Khutbah siku ya Ijumaa, Du´aa katika Swalah isipokuwa katika Qunuut ya Witr.
Hakuna neno kwa hayo. Atakapoomba Du´aa mwalimu na akanyanyua mikono na wengine watanyanyua mikono yao na kuitikia “Aamiyn” kwa Du´aa yake.
Hakuna neno juu ya hilo.
Kwa kuwa asli ni kunyanyua mikono isipokuwa sehemu ambazo imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliomba na hakunyanyua mikono yake.
Kwa mfano wa Khutbah siku ya Ijumaa, Du´aa katika Swalah isipokuwa katika Qunuut ya Witr.
Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
No comments:
Post a Comment