Thursday, May 19, 2016

USIDANGWANYWE NA WAZUSHI

 Usidanganyike na yule anayemsifu mtu kama huyu na kumtapa. 
Watu wapotevu wanaweza kuwa na kitu katika wema, lakini unachotakiwa kutazama ni ule upotevu walionao. 
 
Usidanganyike na kitu kidogo katika kheri na ukasahau yale mambo mengi ya shari [waliyomo]. 
Hii ni hekima kubwa.

Baadhi ya watu wanasema “Fulani ana kheri hata kama ni mpotevu”, “Fulani ni mkarimu na kadhalika”
Achana na yote haya! 
Maadamu ni mtu wa upotevu na ni mtu anafuata matamanio yake, achana naye hata kama ana kitu katika kheri. Achana naye.

Mtu wa Sunnah hata kama atakuwa na maovu na maasi, shikamana naye kwa kuwa ni mtu ameshikamana na Sunanh. 


Chanzo: https://www.youtube.com/watch?v=KNvT1bMto4U
 Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan

No comments:

Post a Comment