Swali:
Hadiyth zilizopokelewa kuhusu fadhila za usiku wa Nifsu Sha´abaan ni Swahiyh?
Jibu
Hapana. Sio
Swahiyh.
Hakukusihi kitu juu ya usiku wa Nisfu Sha´abaan wala siku ya Nisfu Sha´abaan. Mtu asisimame usiku wa Nisfu Sha´abaan, bi maana mtu asikhusishe kusimama usiku.
Ama kuhusu yule aliyekuwa akidumu kwa kusimama tokea mwanzo asimame usiku wa Nisfu Sha´abaan kama siku zingine. Ama kusema aikhusishe kwa kusimama, hii ni Bid´ah.
Au akafunga siku ya kumi na tano ya mwezi wa Sha´abaan, hii ni Bid´ah.
Isipokuwa yule aliyekutwa akifunga Swawm zake kama kwa mfano Swawm ya masiku meupe, afunge katika Sha´abaan na siku zingine.
Hakukusihi kitu juu ya usiku wa Nisfu Sha´abaan wala siku ya Nisfu Sha´abaan. Mtu asisimame usiku wa Nisfu Sha´abaan, bi maana mtu asikhusishe kusimama usiku.
Ama kuhusu yule aliyekuwa akidumu kwa kusimama tokea mwanzo asimame usiku wa Nisfu Sha´abaan kama siku zingine. Ama kusema aikhusishe kwa kusimama, hii ni Bid´ah.
Au akafunga siku ya kumi na tano ya mwezi wa Sha´abaan, hii ni Bid´ah.
Isipokuwa yule aliyekutwa akifunga Swawm zake kama kwa mfano Swawm ya masiku meupe, afunge katika Sha´abaan na siku zingine.
No comments:
Post a Comment