Swali:
Tumesikia
baadhi ya watu kwamba asiyefunga kuanzia mwanzoni wa Sha´abaan mpaka
siku ya kumi na tano, basi haijuzu kwake kufunga masiku mengine
yaliyobakia.
Jibu
Sio sahihi.
Hadiyth:
“Sha´abaan ikifika nusu msifunge.”
ni dhaifu.
´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aal ash-Shaykh
No comments:
Post a Comment