Swali
Jibu
Hapana.
Inatosha kusoma kwake mara ya kwanza.
Kwa kuwa ulienda kwa haja na ukarudi.
Wewe una hukumu ya wenye kubaki kwenye vitanda vyao.
Wewe una hukumu ya wenye kubaki kwenye vitanda vyao.
Haina maana usiache kitanda chako kamwe.
Unahitajia wakati mwingine kutoka kitandani kwa haja fulani, hili haliathiri kukingwa kwako.
Kinga bado iko pale pale Alhamdulillaah.
Kwa kuwa ulienda kwa haja na ukarudi.
Wewe una hukumu ya wenye kubaki kwenye vitanda vyao.
Wewe una hukumu ya wenye kubaki kwenye vitanda vyao.
Haina maana usiache kitanda chako kamwe.
Unahitajia wakati mwingine kutoka kitandani kwa haja fulani, hili haliathiri kukingwa kwako.
Kinga bado iko pale pale Alhamdulillaah.
Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
No comments:
Post a Comment