Wednesday, May 11, 2016

JE, UBAKHILI NI DHAMBI ?

Swali:
Ubakhili unahesabika ni katika madhambi?

Jibu
Ndio, 
unahesabika ni katika madhambi pale ambapo utamzuia mtu na kheri, Zakaah na haki ambazo ni wajibu. 
Katika hali hii itakuwa ni katika madhambi makubwa.

Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf--1432-10-21.mp3

No comments:

Post a Comment