Jibu
Hapana,
mtu hapewi ujira kwa ajili ya kumuombea mwengine.
Akiomba kwa ajili ya [kupewa] ujira haitokubaliwa Du´aa yake. Kwa kuwa Du´aa ni ´Ibaadah,
haichukuliwi ujira.
mtu hapewi ujira kwa ajili ya kumuombea mwengine.
Akiomba kwa ajili ya [kupewa] ujira haitokubaliwa Du´aa yake. Kwa kuwa Du´aa ni ´Ibaadah,
haichukuliwi ujira.
No comments:
Post a Comment