Swali
Jibu
Ndio, imethibiti kuwa Qiyaamah kitakuwa siku ya Ijumaa. Hii ni miongoni mwa sifa za kipekee za siku ya Ijumaa.
Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (57)
http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf--1432-01-07.mp3
No comments:
Post a Comment