Swali
Jibu
Mazoezi
ambayo yana manufaa kwa mwili yanajuzu kwa sharti ikiwa wanawake
wamejisitiri na hakuna wanaume wanaowaona. Katika hali hii mazoezi ni
sawa. Lakini ikiwa yanaambatana na dufu na nyimbo, ni haramu. Kwa kuwa
ni katika upuuzi wa haramu.Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01)
http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh--14340126_0.mp3
No comments:
Post a Comment