Swali:
Jibu Ndio.
Kumethibiti kitu kuhusu swawm ya Sha´baan? Ni ipi hukumu ya kuhusisha kufunga 15 Sha´baan katika kila mwaka?
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha´baan. Alikuwa akifunga siku zake nyingi.
Ni Sunnah kufunga Sha´baan na mtu akithirishe kufunga ndani yake.
Mzungumzaji: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/14321118_31.mp3
No comments:
Post a Comment