Swali
Jibu
Ni
wajibu kwa mtu kumcha Allaah juu ya nafsi yake na atahadhari asije
akatumbukia kwenye mambo ambayo yatakuja kumwangamiza na kumpoteza. Ni kweli ya kwamba watu hawa ni Mujaahiduun, lakini ni Mujaahiduun katika njia ya Shaytwaan.
Ni Mujaahiduun katika njia ya Shaytwaan.
Mtu asidanganyike na watu hawa na kuwasema vibaya Ahl-ul-Haqq na wanachuoni wenye kubainisha haki.
Mzungumzaji: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Chanzo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=148608
Tarehe: 1436-01-24/2014-11-17
No comments:
Post a Comment