Kabla
ya kuku kuchinjwa anapigwa umeme na inatokea wakati mwingine anakufa
kwa sababu ya umeme huo. Kisha baada ya hapo ndio anachinjwa na halafu
anapigwa umeme kwa mara nyingine. Mtu anaweza kula kuku kama hii?
Jibu
Hapana. Ni myamafu. Inahesabika kuwa haikuchinjwa. Haijuzu.
No comments:
Post a Comment