Friday, May 20, 2016

LENYE KUTIA SHAKA USILIFANYE





الحديث الحادي عشر

" دع ما يريبك إلى ما لا يريبك"

 عَنْ أَبي مُحمَّدٍ الحسَنِ بْنِ عليّ بْنِ أبي طَالِب، سِبْطِ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم وَرَيْحَانَتِهِ رضيَ اللهُ عنهُما، قالَ: حَفِظْتُ مِنْ رَسُولِ الله

Thursday, May 19, 2016

THAMANI YA DAMU YA MUISLAMU





الحديث الرابع عشر

" لا يحل دم امريء مسلم إلا بإحدى ثلاث"

 عن ابْنِ مَسْعُودٍ رضي اللهُ عنه قالَ: قالَ رسُولُ الله صلى الله عليه وسلم: ((لاَ يَحِلُّ دَمُ  امْرِئٍ مُسْلِمٍ   إلاّ بإحْدَى ثَلاَثٍ: الثَّيِّبُ الزَّاني،

JE, INAJUZU KUMUULIZA SWALI KHATWIYB WAKATI WA KHUTBA?

Swali
Je, inajuzu kumuuliza swali Khatwiyb ilihali anatoa Khutbah siku ya Ijumaa?

JE, QIYAAMAH KITAKUWA IJUMAA ?

Swali
Je, imethibiti kuwa Qiyaamah kitasimama siku ya Ijumaa?

JE, KHAWARIJ NI MUJAHIDUUN ?

Swali
Ni ipi nasaha yako kwa wale walioathirika na Khawaarij wa leo, wanawatetea na wanawaita kuwa ni "Mujaahiduun"? Watu hawa hawawafuati wanachuoni wakubwa na nasaha zao...

HUKMU YA KUJILIPUA (Kujitoa Mhanga)

Kuhusu matendo [ambayo mtu humuonyesha Allaah hasira kwayo], ni pamoja na kuchana nguo, kupiga mashavu, kukokota nywele na mfano wa hayo. 
Baadhi ya watu wanafanya hivi. Hata hivyo lililo kubwa, chafu na baya zaidi ni kujiua. 

MKIRIMU MGENI



الحديث الخامس عشر





 عن أبي هُرَيْرَةَ رضي الله عنهُ: أنَّ رسُولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم قال : ((مَنْ كانَ يُؤمِنُ باللهِ والْيَوْمِ الآخِرِ فَلْيَقُل خَيْراً أَوْ لِيَصْمُتْ، ومَنْ

USIDANGWANYWE NA WAZUSHI

 Usidanganyike na yule anayemsifu mtu kama huyu na kumtapa. 
Watu wapotevu wanaweza kuwa na kitu katika wema, lakini unachotakiwa kutazama ni ule upotevu walionao. 

JE, ISIS NI DOLA YA KIISLAMU?

Swali
Baadhi ya watu wanasema nchi ya leo inayoitwa kuwa ni dola ya Kiislamu ni Khawaarij. 
Je, haya ni sahihi?

Monday, May 16, 2016

HALALI IKO WAZI NA HARAMU IKO WAZI



"إن الحلال بين وإن الحرام بين"


عَنْ أبي عَبْدِ اللهِ النُّعْمَانِ بْنِ بَشِيرٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُما قَالَ : سمعتُ رَسُولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ: 
(( إن الْحَلالَ بَيِّنٌ وَإنَّ الْحَرَامَ بَيِّنٌ وَبَيْنَهُما أمورٌ مُشْتَبِهَاتٌ لا يَعْلَمُهُنَّ كَثيِرٌ مِنَ الناسِ،

HURUMA ZANGU NI KUBWA KULIKO GHADHABU ZANGU

Huruma Zangu Ni kubwa Kuliko Ghadhabu Zangu
عَنْ أَبِي هُرَیْرَةَ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَیْهِ وَسَلَّمَ : (( لَمَّا قَضَى اللَّهُ الْخَلْقَ كَتَبَ فِي كِتَابِهِ عَلَى نَفْسِهِ فَهُوَ مَوْضُوعٌ عِنْدَهُ إِنَّ

MJA WANGU ANA MAKAZI MAZURI KWANGU

Hadiyth qudsiy
 Mja Wangu Ana Makazi Mazuri Kwangu
Ananishukuru
Mja Wangu Ana Makazi Mazuri Kwangu Ananishukuru
عَنْ أَبِي هُرَیْرَةَ قَالَ :سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَیْهِ وَسَلَّمَ یَقُولُ : ((إِنَّ اللَّهَ عَزَّ وَجَلَّ یَقُولُ : إِنَّ عَبْدِي الْمُؤْمِنَ عِنْدِي بِمَنْزِلَةِ كُلِّ خَیْرٍ

Sunday, May 15, 2016

JE, TUACHE NYAMA KWENYE MIFUPA?

Swali
Je, inajuzu kwetu kuacha nyama kwenye mifupa?

JE, INAJUZU KULA FUTARI MSIKITINI?

Swali
Je, inajuzu kuwafuturisha wafungaji ndani ya Misikiti?

HUKMU YA KUZUNGUMZA WAKATI WA KULA

Swali
Ni lipi jambo limewekwa katika Shari´ah wakati wa kula; kuzungumza au kunyamaza?

JE, INAFAA KULA NYAMA YA TEMBO?

Swali
Je, inajuzu kula nyama ya tembo?

JE, INAJUZU KULA NA MAKAFIRI?

 
Swali

ADABU ZA KUCHINJA WANYAMA




عن أبي يَعْلَى شَدَّادِ بْنِ أَوْسٍ رضي اللهُ عنه، عن رسولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم قال: ((إنَّ اللهَ كَتَبَ الإِحْسانَ على كلِّ شَيءٍ، فإذا قَتَلْتُمْ

HUKMU YA KUCHINJA KUKU KWA UMEME

Swali
Kabla ya kuku kuchinjwa anapigwa umeme na inatokea wakati mwingine anakufa kwa sababu ya umeme huo. Kisha baada ya hapo ndio anachinjwa na halafu anapigwa umeme kwa mara nyingine. Mtu anaweza kula kuku kama hii?

HARAMU HAITOLEWI SWADAQAH

Swali
Inajuzu kuwapa makafiri mafukara kondoo aliyekufa mwenyewe?

Saturday, May 14, 2016

MTU AKITOKA KISHA AKARUDI KWENYE KITANDA CHAKE ASOME ADHKAAR UPYA ?

Swali
Nikisoma Adhkaar za kulala halafu nikashegama, kisha nikaenda kukidhi haja kwa kusahau, kisha nikarudi kwenye kitanda mara ya pili na wala hapakupita muda mrefu.
 Je, nirudie kusoma Adhkaar mara nyingine?

HUKMU YA KUPIGA CHAFYA CHOONI

 
 
Swali
Mtu aseme nini akipiga chafya chooni?

JE, KUNA TOFAUTI KATI YA ROHO na NAFSI ?

JE, JUA NI KUBWA KULIKO DUNIA ?

Swali
Je, jua ni kubwa zaidi kuliko dunia kama jinsi wanavyodai wanasayansi ?

INAFAA KUNYANYUA MIKONO WAKATI WA KUOMBA DUA?

Swali
Ni ipi hukumu ya kuomba Du´aa katika vikao vya elimu na kunyanyua mikono miwili na wasikilizaji kuitikia “Aamiyn”?

JE, RADI NI SAUTI YA MALAIKA?

 
 
Je, ni sahihi kwamba radi ni sauti ya Malaika miongoni mwa Malaika?

INAJUZU KUKIMBIA SPIDI KATIKA KIPANDO?

Swali
Kuzidisha spidi iliyowekwa kwenye njia pamoja na mtu kuamini madhara inahesabika ni katika kumkhalifu mtawala?

Thursday, May 12, 2016

JE, INAJUZU KUMPA MWENDAWAZIMU (Kichaa) PESA?

Swali:
Wakati mwingine najiwa na mwendawazimu anayeniomba pesa na anataka kununua chakula. Je, nimpe pesa au naingia katika Kauli Yake (Ta´ala):
وَلَا تُؤْتُوا السُّفَهَاءَ أَمْوَالَكُمُ الَّتِي جَعَلَ اللَّـهُ لَكُمْ قِيَامًا

JE, NI WAJIBU KUANDIKIANA DENI?

Swali:
Kauli Yake (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا تَدَايَنتُم بِدَيْنٍ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى فَاكْتُبُوهُ

JE, INAFAA KUUA MBWA BILA SABABU?

Swali:

USIJISABABISHIE KHASIRA

Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:

16- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa kuna mtu alimuomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amuusie ambapo akamwambia: “Usighadhibike." Yule mtu

JE, NI IPI DAWA YA KHASIRA?

 

عن أبي هُرَيْرَةَ رضي اللهُ عنه أنَّ رَجُلاً قال لِلنَّبِّي صلى الله عليه وسلم: أَوصِني، قالَ:

WALIOFANYA MIKONO KUWA WAKE ZAO

Swali:
Kuna mtu aliniuliza kuhusu hukumu ya kujitoa manii na nikawa nimemjibu kuwa nijuavyo ni kwamba ni haramu. Akaniomba dalili na nikawa sijui. Ni ipi dalili?

Wednesday, May 11, 2016

UTOFAUTI KATI YA SHAKA NA WASIWASI

Swali:  
Ni shaka ipi ambayo ni kufuru? 
Je, shaka ya khiyari juu ya kuwepo kwa Allaah (Ta´ala) au ukweli wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)…

HAIFAI KUJISIFU, KUJIONA na KUJIGAMBA

Swali:
Kupenda sifa na matapo kwa watu ni jambo lenye kulaumika kwa hali yoyote?

Je,Nikiombwa PESA ni WAJIBU kutoa ?

Swali:
Mwombaji akiniomba pesa ni wajibu kwangu kumpa?

JE, UBAKHILI NI DHAMBI ?

Swali:
Ubakhili unahesabika ni katika madhambi?

Kimethibiti CHOCHOTE Nisfu SHA'BAAN ?

Swali:

Kumesihi kitu juu ya Hadiyth zinazozungumzia Nisfu Sha´abaan?

IBADA MAALUMU USIKU WA NISFU SHA 'BAAN NI BID 'AH

Swali:
Hadiyth zilizopokelewa kuhusu fadhila za usiku wa Nifsu Sha´abaan ni Swahiyh?

HAKUNA KATAZO LA KUFUNGA BAADA YA SIKU 15 ZA SHA'BAAN

Swali:
Tumesikia baadhi ya watu kwamba asiyefunga kuanzia mwanzoni wa Sha´abaan mpaka siku ya kumi na tano, basi haijuzu kwake kufunga masiku mengine yaliyobakia.

JE, KUTUKUZA NISFU SHA 'BAAN IMETHIBITI?

Swali:
Je, kumethibiti kitu kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya fadhila za usiku tarehe 15 Sha´abaan?

JE, 'UMAR (Radhiya Allaahu ´anh) ALISHEREHEKEA NISFU SHA'BAAN?

Swali:
Kuna mapote ambayo yanasherehekea usiku wa Nisfu Sha´baan na wanasema kuwa ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) alikuwa akisherehekea usiku huu. 
Tunaomba utubainishie hukumu?

Monday, May 9, 2016

MTU KUPEWA UDHURU KWA UJINGA

Swali:
Wale wanaoyaomba uokozi makaburi, wanayachinjia na kuweka nadhiri kwa ajili yake bila ya kujua hukumu za Kishari´ah wanapewa udhuru kwa kutokujua?

SWAWM YA SHA'BAAN IMETHIBITI?

Swali:
Kumethibiti kitu kuhusu swawm ya Sha´baan? Ni ipi hukumu ya kuhusisha kufunga 15 Sha´baan katika kila mwaka?

JE, INAJUZU KUMPA SALAMU AU KUPOKEA SALAMU YA KAFIRI?

Swali la Kwanza:
Inajuzu kuanza kuwapa Mayahudi na Manaswara Salaam (kuwasalimia)?

JE, INAJUZU KUMPA MTU PESA ILI AKUOMBEE DUA?

Swali:
Mwenye kuwapa watoto wadogo pesa ili wamuombee Du´aa. Je, kitendo hichi kinajuzu?

NINI CHA KUFANYA ENDAPO HAKUNA SEHEMU YA KUZIKIA WAISLAMU?

Swali:
Tufanye kitu gani akifa Muislamu katika mji wa kikafiri na wala hakuna mahali maalum pa kuwazika Waislamu tu?

KUTUMIA MSAHAFU KAMA ULINZI

Swali
Inazingatiwa kuwa ni kutafuta ulinzi kwa maneno ya Allaah kuweka msahafu ndani ya gari ili uilinde gari dhidi ya shari?

Wednesday, May 4, 2016

JE, KUGUSANA NA KAFIRI KUNATENGUA WUDHUU?

Swali:

Lau Muislamu atapeana mikono na myahudi au mnaswara wakati yuko na Wudhuu. Ana nini juu yake?

KUGUSA TUPU YA MTOTO KUNATENGUA WUDHUU ?

Swali:
Kugusa tupu ya mtoto wakati wa kumuogesha kunatengua Wudhuu au hapana?

JE, SIGARA NI HALALI?

Swali:
Kuna wenye kusema kuwa sigara ni halali kwa kutumia hoja ya biashara ya sigara Saudi Arabia ambayo ni nchi ya Kiislamu ambapo mfumo wake ni Qur-aan na Sunnah. Vipi tutamraddi?

Tuesday, May 3, 2016

JE, INAJUZU KUTAKA MSAADA KWA MAJINI?

Swali1:
Ni ipi hukumu ya kutaka msaada kutoka kwa majini waislamu?
 
Jibu
Hakuombwi msaada kutoka kwa majini, sawa yawe ya Kiislamu au

JE, INAJUZU KUPEANA MIKONO NA KHAWAARIJ ?

Watu wamewaona Khawaarij kwa macho yao. 
Wameona namna wanavyoua na kufanya mauaji ya kinyama, wanaunguza na kuharibu, wanavunja na kuangamiza. Wakati yanapomalizika matendo ya Khawaarij utamuona huyu anamsalimia yule. 

Wakati gani kuna Wajibu wa Kukumbusha

 Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
34- Abu Sa'iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu´anh) ameeleza kuwa amemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:

Monday, May 2, 2016

UHARAMU WA KATUNI

Swali:
Tunaomba Shaykh atubainishie hukumu ya watoto kuangalia katuni?

NASAHA KWA WANAOPENDA PICHA

Swali:
Una nasaha yoyote kuwapa wale ambao wamekithirisha kupiga picha kwenye msiktii mtakatifu wa Makkah na imekuwa ni kama vile ni sehemu ya utalii?

HUKMU YA KUVAA MAJEZI YA MPIRA

Swali:

Unasemaje kwa yale yanayofanywa na baadhi ya vijana katika watoto wa waislamu hii leo ambapo wanavaa jezi za mazoezi zilizo ima na nembo za nchi za kikafiri, baadhi ya wachezaji mpira makafiri au ziko na nembo zilizo na kasumba kwa baadhi ya vyama vya mazoezi vya makafiri kwa kuwapenda. 
Je, huku ni katika kuwapenda makafiri?

HUKMU YA KUVAA NGUO ZENYE MSALABA

Swali
Je,inajuzu kwa mtu kuvaa nguo ilio na msalaba?
 

Sunday, May 1, 2016

HADIYTH HIZI NI MBOVU (Hazina Asili Katika Dini)

Mwenye kuzisahihisha Hadiyth hizi ni mwongo

Mwenye kusema kuwa Hadiyth zenye kusema kuwa ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf (Radhiya Allaahu ´anh) ataingia Pepo hali ya

SALAFY KUKAA PAMOJA NA MZUSHI

Ufafanuzi wa Kisheria Juu ya Kuamiliana Na Mzushi

Imethibiti kwa wanachuoni wengi wa Taabi´uun wakikataza kukaa na Ahl-ul-Bid´ah wal-Ahwaa´. Hilo si kwa sababu ya jengine isipokuwa ni kwa kukhofia mzushi huyo asije akamuathiri mwenye kukaa naye. 
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehimiza juu ya

JE, INAJUZU KUKAA NA 'AWWAAM WA AHLUL BID'AH?

Swali:

Salaf wamekataza kukaa na Ahl-ul-Bid´ah. Je, ´Awwaam ambao wanafanya Bid´ah wanaingia katika makatazo haya?
 

MSIMAMO WA SALAFY KWA WAZUSHI

Hivi ndivyo walivyo fanya Salaf

Upande wa pili wa ufafanuzi wa maneno haya yatakuwa ni maneno ya Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah). Watu wengi bila shaka watakasirika na kutukosoa kwa sababu tunawazungumzia watu wa Bid´ah na kuwaacha watenda madhambi kama wanywa pombe na wengineo.