Ewe ngugu yangu katika imani..
Tambua kuwa
ALLAH hana mshirika..
ALLAH ni mpweke..
ALLAH ni mlezi wa walimwengu..
ALLAH NI MLEZI WA VILE VILIVYOMO MBINGUNI, ARDHINI NA VILIVYOPO KATI YA MBINGU NA ARDHI
ALLAH ni mshindi mwenye nguvu na ni mpole mwenye kusamehe waja wake
No comments:
Post a Comment