Monday, February 19, 2018

HAKIKISHA UNATAMKA HAYA



Ewe ngugu yangu katika imani..

Tambua kuwa ALLAH hana mshirika..

ALLAH ni mpweke..

ALLAH ni mlezi wa walimwengu..

ALLAH NI MLEZI WA VILE VILIVYOMO MBINGUNI, ARDHINI NA VILIVYOPO KATI YA  MBINGU  NA ARDHI

ALLAH ni mshindi mwenye nguvu na ni mpole mwenye kusamehe waja wake

No comments:

Post a Comment