Monday, February 19, 2018


WANAWAKE  TOENI SADAKA...
 MUSITEGEE HATA KIDOGO KATIKA HILI




AMESEMA MTUME MUHAMMAD (Swalla llahu a'leyh wassallam)

"Enyi kongamano  la  wanawake  TOENI SADAKA "

KWA HAKIKA  NIMEONA WINGI WA WANAWAKE MOTONI...

UFAFANUZI
Kwa hakika utoaji wa sadaka husaidia watu kuokoka na adhabu ya moto na wala wasione kuwa ni majukumu ya wanaume katika kutoa...

ALLAH ANAJUA ZAIDI

HAKIKISHA UNATAMKA HAYA



Ewe ngugu yangu katika imani..

Tambua kuwa ALLAH hana mshirika..

ALLAH ni mpweke..

ALLAH ni mlezi wa walimwengu..

ALLAH NI MLEZI WA VILE VILIVYOMO MBINGUNI, ARDHINI NA VILIVYOPO KATI YA  MBINGU  NA ARDHI

ALLAH ni mshindi mwenye nguvu na ni mpole mwenye kusamehe waja wake